Kundi la watumishi pamoja na jamaa na wakristo wanao kusanyika kwenye Ministère Chrétien de prière et Évangélisation au monde wakiongozwa na mtumishi Apôtre Gabriel Tikiko walijielekeza malende mahali mtumishi wa Mungu Samy Mumbesa amelazwa. Huko walipeleka maua na kisha wakajielekeza nyumban mahali Pasta Samy Mumbesa alikuwa na kaa na pia nyumbani kwao mahali maman mzazi wa marehemu anakaa huko kongo ya sika. Watumishi wanashukuru wote ambao wamehusika na jambo hilo. Musichoke kutenda mema mutalipwa na Mungu.