Mpendwa kuanjsiku ya juma pili tarehe 04/04/2021 tutakuwa tumeanja maombi kwa ajili ya siku makumi mbili na moja ya maombi. Maombi haya ni ya ni ya watu wote. Haizuru dini gani, lugha gani hata kabila gani. Dunia yote tutaomba pamoja. Tutaombea janga la corona ulimwenguni pote na pia ebola ambayo inapenda ianje tena na pia tutaomba juu ya mauwaji katika inchi yetu.

programme mutaipata hapa kwa siku ambazo ziko mbele yetu na wale ambao watajiunga nasi munaweza tuma commentaires zenu hapa. Aksante sana

Une pensée sur “Kipindi cha maombi na mafungo kya siku makumi mbili na moja. 21 jours de jeûne et prière”

  1. Wapendwa tungali na chunga commentaires zenu na wale ambao hawako Butembo watuite watuambie kwamba tutakuwa pamoja

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *