
Ni kesho utamaliza iyi somo kwenye chumba nzuki. Mpendwa heri mwisho kuliko mwanzo, unakaribishwa. Tumefunuliwa mengi sana na tumeletewa kwamba kwa kweli taifa linapotea kwa kutokujua. Mungu atusaidie sana.
Na pia tutaombewa tena kisha somo ili utawala wa giza usipate nafasi ndani ya maisha yate. Karibu kwa wote