Siku Saba ya mafundisho ya kinabii
Mpendwa tumeanja tangu Siku ya kwanja tarehe 20 mwezi huu wa tisa mafundisho ya kinabii inayo zungumuza juu ya somo ni kwa neema. Muhubiri wetu ni pasta Josué. Nyote mwakaribishwa
Radio Télévision la Voix du Salut
Mpendwa tumeanja tangu Siku ya kwanja tarehe 20 mwezi huu wa tisa mafundisho ya kinabii inayo zungumuza juu ya somo ni kwa neema. Muhubiri wetu ni pasta Josué. Nyote mwakaribishwa
Butembo tumemupokea mtumishi wa Mungu Apôtre Tikiko. Tangu jana tuko na barikiwa ndani ya somo inayosema Zabuloni wetu haiko mbali. Mpendwa kuja tubarikiwe pamoja kwenye salle nzuki. Karibu