Mpendwa kumeandaliwa maombi ya mafungo ya siku makumi ine. Na kila juma tutakuwa na hubira na orateur ambaye amepangwa. Hivi juma hii ya kwanja tunakuwa na mtumishi wa Mungu pasta Bertin kutoka Lubumbashi. Unakaribisha kwenye salle nzuki pa Butembo DRC.