Hali tunayo pitia ni hali mugumu sana. Hivi sote kwa pamoja muje tujiunge kama mtu mumoja kwa ajili ya kuombea inchi yetu. Gari zinalunguzwa n’a pia nyumba n’a hata watu wanauawa kila siku kama nyama. tujiunge kwa maombi ya pamoja. Aksante sana

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *