Grande Campagne d’évangélisation
M.C.P.E.M inakualika kuhuzuria makutako mkuu wa injili utakayo fanyika siku ya Mungu terehe 6 mwezi wa 11 mwaka juu. Tutakuwa kwa paluku Denis. Wote munakaribishwa
9/8/2020 au 9/8/2022
Miaka mbili tangu baba yetu pasteur Samy Mumbesa na haiko tena duniani. Alakini furaha yetu nikuona hata kama amefariki, iko na endelea kuhubiri maelfu ya watu.