Mpendwa wangu ni kesho siku ya juma pili tutamaliza somo pamoja na mtumishi wa Mungu Dr Fabrice from Goma. Na maramoja tutaanja somo pamoja na mtumishi wa Mungu Pasta Benjamin ndani ya somo inayosema mutu atakaye toka mu kawaida. Karibu kwa wote kwenye salle nzuki. Aksante

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *