Mpendwa wangu ninakujulisha kwamba tumemaliza somo pamoja na pasta Benjamin na sasa kesho siku ya kwanza tarehe 01 mwezi wa tano tutaanja somo mupya pamoja na mtumishi wa Mungu Pasta Josue Kaputu. Somo hii inazungumuza juu ya kanuni za mafanikio. Karibu kwa wote

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *