Kisha kumaliza somo pamoja na mtumishi wa Mungu Pasta Josue Kaputu, sasa kesho tunaanja somo mupya pamoja na mtumishi wa Mungu Révérend Faustin kutoka 45e CEP BETHEL. Programme iko hivi : 06h-08h ni asubuhi na 13h-14h ni une heure avec Jésus. Wote munakaribishwa kwenye salle nzuki.

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *