
Mpendwa kuanja tarehe 16 mpaka tarehe 23 july mwaka huu kumeandaliwa mkutano mkuu wa injili kwenye muji wa Butembo. Mkutano huu umeandaliwa n’a huduma ya maombi n’a injili ulimwenguni pote, tutakuwa kwenye uwanja wa paluku deni. Muhubiri ni Apôtre Gabriel TIKIKO.