
Tumeanja somo pamoja na mtumishi wa Mungu Évangéliste Josue Tsongo. Somo hii ni ya juma moja na tunaalika watu wote kwenye salle Nzuki mahali tunakuwa kila iitwapo leo. Programme ni kila siku asubui 06h-08h na 13h-14h.

Radio Télévision la Voix du Salut