
Mpendwa katika Kristo somo nzuri inaendelea kwenye salle nzuki mahali tunakuwa kila iitwapo leo. Somo hii inaletwa na mtumishi wa Mungu pasta Benjamin na tuko na ombewa kila siku kisha somo. Wote munakaribishwa kwenye salle nzuki ili tubarikiwe pamoja.