MISINGI
Mpendwa katika Kristo somo nzuri inaendelea kwenye salle nzuki mahali tunakuwa kila iitwapo leo. Somo hii inaletwa na mtumishi wa Mungu pasta Benjamin na tuko na ombewa kila siku kisha Continuer la lecture
Radio Télévision la Voix du Salut
Mpendwa katika Kristo somo nzuri inaendelea kwenye salle nzuki mahali tunakuwa kila iitwapo leo. Somo hii inaletwa na mtumishi wa Mungu pasta Benjamin na tuko na ombewa kila siku kisha Continuer la lecture
Tumeanja somo pamoja na mtumishi wa Mungu Évangéliste Josue Tsongo. Somo hii ni ya juma moja na tunaalika watu wote kwenye salle Nzuki mahali tunakuwa kila iitwapo leo. Programme ni Continuer la lecture
Mpendwa nakuambia kwamba kila siku kumeandaliwa kipindi cha maombi na mafundisho kwenye permanence yetu ku Salle Nzuki. Watu wote wanakaribishwa kwenye salle nzuki kila siku asubuhi 06h-08h na 13h-14h na Continuer la lecture
Mpendwa kuanja tarehe 16 mpaka tarehe 23 july mwaka huu kumeandaliwa mkutano mkuu wa injili kwenye muji wa Butembo. Mkutano huu umeandaliwa n’a huduma ya maombi n’a injili ulimwenguni pote, Continuer la lecture
Mpendwa wangu unaalikwa kushiriki kipindi hiki cha siku tatu ya maombi ya mafungo kwenye salle nzuki. Tutahubiriwa na mtumishi wa Mungu pasta Benjamin. Karibu kwa watu wote.
Kisha kumaliza somo pamoja na mtumishi wa Mungu Pasta Josue Kaputu, sasa kesho tunaanja somo mupya pamoja na mtumishi wa Mungu Révérend Faustin kutoka 45e CEP BETHEL. Programme iko hivi Continuer la lecture
Ma chère, je vous informe que nous avons terminé la leçon avec le pasteur Benjamin et maintenant demain, le premier jour du mois de Mai, nous allons commencer une nouvelle Continuer la lecture
Mpendwa wangu ninakujulisha kwamba tumemaliza somo pamoja na pasta Benjamin na sasa kesho siku ya kwanza tarehe 01 mwezi wa tano tutaanja somo mupya pamoja na mtumishi wa Mungu Pasta Continuer la lecture
Mpendwa wangu kisha kumaliza somo inayosema haita isha ivi, tumeanja somo inayo sema Ndani ya tumaini nyamaza. Somo hii inaletwa na maman Laele pamoja na maman Sifa. Karibu kwa wote Continuer la lecture
Mpendwa wangu tuko n’a barikiwa na somo nzuri pamoja na Pasta Benjamin. Mtumishi amekuwa baraka kwetu na anatuambia kwamba mutu atakaye toka mu kawaida ni yule atakaye kubali kutoka ndani Continuer la lecture