Tu entreras aussi
mpendwa wangu kisha kumaliza somo pamoja na mtumishi wa Mungu Élie aliye leta somo inayosema ama Mungu ama sifuru, sasa tumeanja somo naye Dr Fabrice kutoka Goma. Kuja tubarikiwe pamoja Continuer la lecture
Radio Télévision la Voix du Salut
mpendwa wangu kisha kumaliza somo pamoja na mtumishi wa Mungu Élie aliye leta somo inayosema ama Mungu ama sifuru, sasa tumeanja somo naye Dr Fabrice kutoka Goma. Kuja tubarikiwe pamoja Continuer la lecture
mpendwa tuko ndani ya kipindi cha siku makumi sita za mafungo. Na juma hizi mbili kuanja tarehe tutakuwa n’a barikiwa pamoja na mtumishi wa Mungu Révérend Jeremie Mosi from Tanzanie, Continuer la lecture
mpendwa tuko ndani ya kipindi cha siku makumi sita za mafungo. Na juma hizi mbili tuko n’a barikiwa pamoja na mtumishi wa Mungu Révérend Josaphat kutoka Gomo DRC, Wote munakaribishwa Continuer la lecture
Ilikuwa usiku wa tarehe 31/12/2022 kuamkia tarehe 01/01/2023, mtumishi wa Mungu Pasta Benjamin akatuambia kwamba huu mwaka wa 2023 itakuwa mwaka wa kuanja tena. Tunajua kwamba Mungu atajifunua kwetu zaidi Continuer la lecture
QUAND LES BABOUINS ET LES SINGES ONT APPRIS QUE L’HOMME QUI LES CHASSAIT DU CHAMP DE MAÏS ÉTAIT MORT, ILS ONT CÉLÉBRÉ DE FAÇON HISTORIQUE. L’ANNÉE SUIVANTE, IL N’Y AVAIT Continuer la lecture
M.C.P.E.M inakualika kuhuzuria makutako mkuu wa injili utakayo fanyika siku ya Mungu terehe 6 mwezi wa 11 mwaka juu. Tutakuwa kwa paluku Denis. Wote munakaribishwa
Miaka mbili tangu baba yetu pasteur Samy Mumbesa na haiko tena duniani. Alakini furaha yetu nikuona hata kama amefariki, iko na endelea kuhubiri maelfu ya watu.
Mpendwa unakaribishwa kwa mkutano mkuu wa injili pa Kyavinyonge. Karibu kwa wote
Butembo tumekumbukwa na kubarikiwa na Mungu. Kumeandaliwa mkutano mkuu wa injili ndani ya muji wetu. Mkutano huu utaanja tarehe 13 ya mwezi wa tatu na kumalizika tarehe 27 ya mwezi Continuer la lecture