Mpendwa siku ya juma pili tutajiunga pamoja kwa maombi kwa ajili ya magonjwa ya corona na ebola. Magonjwa haya yametatiza watu wengi, inchi nyingi. Hivi tutajiunga kama mtu mmoja tukiombea inchi ambazo zimetatizwa sana na watu wanaendelea ku fariki. Tutaambia Mungu kwamba watu wameshindwa na tunaomba misaada kutoka kwake tu.

Mawazo ya watu imeshindwa, wameleta chanzo ao kikato nakyo kimeshindwa kwasababu wao wenyewe wameanja vikatala sasa tutaambia Mungu pekee yake atende na aseme neno la mwisho.

Tutaomba pia Mungu amalize ebola ambayo tukonasikia inaanja ndani ya miji wetu wa Butembo.

Hatutasahau kuombea watu wa Beni ville pia Beni territoire Mungu pekee atende. Kwa sababu watu wameshindwa, serekali imeshindwa sasa tunaomba Mungu aseme neno la mwisho. Unakaribishwa mpendwa wangu

Laisser un commentaire

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *