
Mpendwa hali ambayo tunapitia inatuchosha. Tumechoka na habari za maumaji kila siku. Kila siku ni vilio na kuzika hata machozi imekauka. Tunahitaji Mungu atende

Biblia inasema Mungu asipo ulinda muji wanao ulinda wanachoka bure. Hivi tumeona kwamba wote ambao tulikuwa na waza batatusaidia bashaka shindwa sasa ni muda wakumurudilia Mungu. Hivi kesho siku ya tano tarehe 19 mwezi huu wa tatu tutajiunga kama mtu mumoja ndani ya maombi. Tutamulilia Mungu na tunaamini Mungu atafanya muujiza

Wote munakaribishwa kujiunga pamoja nasi ndani ya kipindi hiki cha maombi popote ulipo na tutajiima chakula mchana wote wa kesho. Aksante